31 Na kana kwamba lilikuwa jambo dogo kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, hata alimwoa Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ akaanza kumwabudu Baali+ na kumwinamia.
22 Mara tu Yehoramu alipomwona Yehu, akamuuliza: “Yehu, umekuja kwa amani?” Lakini akamjibu: “Kunawezaje kuwa na amani wakati kuna ukahaba wa Yezebeli+ mama yako na ulozi wake mwingi?”+