-
2 Wafalme 8:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Alitembea katika njia ya nyumba ya Ahabu+ na kuendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa ameoa kutoka katika nyumba ya Ahabu.+ 28 Basi Ahazia alienda pamoja na Yehoramu mwana wa Ahabu kupigana vita na Mfalme Hazaeli wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ lakini Wasiria wakamjeruhi Yehoramu.+
-