Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mtabomoa madhabahu zao, mtazivunjavunja nguzo zao takatifu, na kuikata miti yao mitakatifu.*+

  • 2 Wafalme 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha wakatoa nje nguzo takatifu+ za nyumba ya Baali na kuiteketeza kila nguzo.+

  • 2 Wafalme 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo Yehu akakomesha kabisa ibada ya Baali katika Israeli.

  • 2 Wafalme 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 (Hata hivyo, hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu aliyosababisha Waisraeli kutenda.+ Waliendelea kutenda* dhambi hiyo, na mti mtakatifu*+ ukaendelea kusimama huko Samaria.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki