Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Omri akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, akatenda maovu kuliko wote waliomtangulia.+

  • 1 Wafalme 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ahabu mwana wa Omri alikuwa mwovu sana machoni pa Yehova kuliko wote waliomtangulia.+

  • 2 Wafalme 16:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 16 huko Yerusalemu. Hakutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova Mungu wake, kama alivyotenda Daudi babu yake.+ 3 Badala yake, alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata alimteketeza* motoni mwana wake mwenyewe,+ akifuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.

  • 2 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba.

  • 2 Wafalme 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alijenga upya mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza mti mtakatifu,*+ kama alivyofanya Ahabu mfalme wa Israeli.+ Naye akaliinamia jeshi lote la mbinguni na kuliabudu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki