-
2 Wafalme 3:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Yehoramu+ mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli kule Samaria katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yehoshafati wa Yuda, naye alitawala kwa miaka 12. 2 Akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, lakini si kwa kadiri aliyotenda baba yake au mama yake, kwa maana aliondoa nguzo takatifu ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+
-