Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Omri akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, akatenda maovu kuliko wote waliomtangulia.+

  • 1 Wafalme 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa kweli, hajawahi kamwe kutokea mtu yeyote kama Ahabu,+ aliyeazimia kabisa* kutenda maovu machoni pa Yehova, akichochewa na Yezebeli mke wake.+

  • 2 Wafalme 3:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehoramu+ mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli kule Samaria katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yehoshafati wa Yuda, naye alitawala kwa miaka 12. 2 Akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, lakini si kwa kadiri aliyotenda baba yake au mama yake, kwa maana aliondoa nguzo takatifu ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki