1 Wafalme 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu yeyote atakayeponyoka upanga wa Hazaeli,+ Yehu atamuua;+ na yeyote atakayeponyoka upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+ 2 Mambo ya Nyakati 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alifuata ushauri wao, akaenda pamoja na Yehoramu mwana wa Mfalme Ahabu wa Israeli kupigana vita na Mfalme Hazaeli+ wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimjeruhi Yehoramu.
17 Mtu yeyote atakayeponyoka upanga wa Hazaeli,+ Yehu atamuua;+ na yeyote atakayeponyoka upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+
5 Alifuata ushauri wao, akaenda pamoja na Yehoramu mwana wa Mfalme Ahabu wa Israeli kupigana vita na Mfalme Hazaeli+ wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimjeruhi Yehoramu.