-
2 Wafalme 2:23, 24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Akapanda kutoka huko na kwenda Betheli. Alipokuwa akitembea njiani, wavulana fulani walitoka jijini na kuanza kumdhihaki,+ wakaendelea kumwambia: “Panda juu, wewe mwenye upara! Panda juu, wewe mwenye upara!” 24 Hatimaye akageuka na kuwatazama, akawalaani katika jina la Yehova. Ndipo dubu jike wawili+ wakatoka msituni na kuwararua vipandevipande watoto 42.+
-