3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu. 4 Naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama watu wa nyumba ya Ahabu, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, jambo lililofanya aangamie.