Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Mfalme Yehoshafati wa Yuda akawa mfalme.

  • 2 Wafalme 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya watu wa nyumba ya Ahabu,+ kwa maana alikuwa amemwoa binti ya Ahabu;+ naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu. 4 Naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama watu wa nyumba ya Ahabu, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, jambo lililofanya aangamie.⁠

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki