-
2 Wafalme 8:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia,+ mjukuu wa* Mfalme Omri+ wa Israeli. 27 Alitembea katika njia ya nyumba ya Ahabu+ na kuendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa ameoa kutoka katika nyumba ya Ahabu.+
-