Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia,+ mjukuu wa* Mfalme Omri+ wa Israeli. 27 Alitembea katika njia ya nyumba ya Ahabu+ na kuendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa ameoa kutoka katika nyumba ya Ahabu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehoshafati alikuwa na utajiri na utukufu mwingi,+ lakini alifanya mapatano ya ndoa pamoja na Ahabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki