1 Wafalme 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Omri akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake huko Samaria; na Ahabu+ mwana wake akawa mfalme baada yake. 1 Wafalme 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ahabu pia alitengeneza mti mtakatifu.*+ Ahabu alifanya mambo mengi zaidi yaliyomkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia. 1 Wafalme 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa kweli, hajawahi kamwe kutokea mtu yeyote kama Ahabu,+ aliyeazimia kabisa* kutenda maovu machoni pa Yehova, akichochewa na Yezebeli mke wake.+
28 Kisha Omri akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake huko Samaria; na Ahabu+ mwana wake akawa mfalme baada yake.
33 Ahabu pia alitengeneza mti mtakatifu.*+ Ahabu alifanya mambo mengi zaidi yaliyomkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.
25 Kwa kweli, hajawahi kamwe kutokea mtu yeyote kama Ahabu,+ aliyeazimia kabisa* kutenda maovu machoni pa Yehova, akichochewa na Yezebeli mke wake.+