1 Wafalme 22:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kisha Yehoshafati akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi babu yake; na Yehoramu+ mwanawe akawa mfalme baada yake. 2 Mambo ya Nyakati 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu, na vitu vyenye thamani, pamoja na majiji yenye ngome kule Yuda;+ lakini alimpa Yehoramu ufalme,+ kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza. 2 Mambo ya Nyakati 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+
50 Kisha Yehoshafati akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi babu yake; na Yehoramu+ mwanawe akawa mfalme baada yake.
3 Na baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu, na vitu vyenye thamani, pamoja na majiji yenye ngome kule Yuda;+ lakini alimpa Yehoramu ufalme,+ kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.
5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+