Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:17-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane. 18 Alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya watu wa nyumba ya Ahabu,+ kwa maana alikuwa amemwoa binti ya Ahabu;+ naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 19 Lakini Yehova hakutaka kuangamiza Yuda kwa sababu ya Daudi mtumishi wake,+ kwa maana alikuwa amemwahidi atampa yeye na wanawe taa sikuzote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki