-
2 Wafalme 8:17-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane. 18 Alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya watu wa nyumba ya Ahabu,+ kwa maana alikuwa amemwoa binti ya Ahabu;+ naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 19 Lakini Yehova hakutaka kuangamiza Yuda kwa sababu ya Daudi mtumishi wake,+ kwa maana alikuwa amemwahidi atampa yeye na wanawe taa sikuzote.+
-