-
2 Mambo ya Nyakati 21:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya watu wa nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa amemwoa binti ya Ahabu;+ na Yehoramu akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova. 7 Lakini Yehova hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi kwa sababu ya agano alilokuwa amefanya pamoja na Daudi,+ kwa maana alikuwa ameahidi kumpa taa, yeye na wanawe, sikuzote.+
-