2 Mambo ya Nyakati 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi,+ kwa sababu ya lile agano+ alilokuwa amefanya pamoja na Daudi, na kama alivyokuwa amesema kwamba atampa+ yeye na wanawe taa sikuzote.+
7 Na Yehova hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi,+ kwa sababu ya lile agano+ alilokuwa amefanya pamoja na Daudi, na kama alivyokuwa amesema kwamba atampa+ yeye na wanawe taa sikuzote.+