7 Nenda, ukamwambie Yeroboamu, ‘Hivi ndivyo anavyosema Yehova Mungu wa Israeli: “Nilikuinua kutoka miongoni mwa watu wako na kukufanya kuwa kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+
9 Lakini umetenda mambo mabaya zaidi kuliko wote waliokutangulia, nawe ulijitengenezea mungu mwingine na sanamu za chuma* ili kunikasirisha,+ mimi ndiye uliyenigeuzia mgongo.+