2 Wafalme 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Mfalme Yehoshafati wa Yuda akawa mfalme. 2 Mambo ya Nyakati 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Yehoshafati akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Yehoramu mwanawe akawa mfalme baada yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+
16 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Mfalme Yehoshafati wa Yuda akawa mfalme.
21 Kisha Yehoshafati akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Yehoramu mwanawe akawa mfalme baada yake.+
5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+