2 Mambo ya Nyakati 21:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwishowe Yehoshafati akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi; na Yehoramu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
21 Mwishowe Yehoshafati akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi; na Yehoramu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.