2 Wafalme 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Athalia+ mama ya Ahazia alipoona kwamba mwanawe amekufa,+ alitoka na kuangamiza uzao wote wa kifalme.*+ 2 Wafalme 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia, mara moja akaja na kujiunga na watu katika nyumba ya Yehova.+ 2 Wafalme 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakamkamata, na alipofika mahali ambapo farasi huingia katika nyumba ya* mfalme,+ akauawa hapo. 2 Mambo ya Nyakati 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wana wa Athalia,+ yule mwanamke mwovu, walikuwa wamevunja na kuingia ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ nao walikuwa wametumia vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yehova kwa ajili ya Mabaali.”
11 Basi Athalia+ mama ya Ahazia alipoona kwamba mwanawe amekufa,+ alitoka na kuangamiza uzao wote wa kifalme.*+
13 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia, mara moja akaja na kujiunga na watu katika nyumba ya Yehova.+
16 Basi wakamkamata, na alipofika mahali ambapo farasi huingia katika nyumba ya* mfalme,+ akauawa hapo.
7 Kwa maana wana wa Athalia,+ yule mwanamke mwovu, walikuwa wamevunja na kuingia ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ nao walikuwa wametumia vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yehova kwa ajili ya Mabaali.”