Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 23:12-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia na kumsifu mfalme, mara moja akaja na kujiunga na watu katika nyumba ya Yehova.+ 13 Kisha akamwona mfalme akiwa amesimama hapo karibu na nguzo ya mfalme karibu na lango. Wakuu+ na wapiga tarumbeta walikuwa na mfalme, na watu wote nchini walikuwa wakishangilia+ na kupiga tarumbeta, na waimbaji wakiwa na ala za muziki waliongoza katika kutoa sifa.* Ndipo Athalia akayararua mavazi yake na kupaza sauti: “Ni njama! Ni njama!” 14 Lakini kuhani Yehoyada akawatoa nje wakuu wa mamia, wale waliowekwa kulisimamia jeshi, akawaambia: “Mwondoeni miongoni mwa vikosi, na yeyote akimfuata, muueni kwa upanga!” Kwa maana kuhani alikuwa amesema: “Msimuue ndani ya nyumba ya Yehova.” 15 Basi wakamkamata, na alipofika njia ya kuingia katika Lango la Farasi la nyumba ya* mfalme, mara moja wakamuua hapo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki