Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Alipofungua muhuri wa tano, nikaona chini ya madhabahu+ nafsi*+ za wale waliouawa kwa sababu ya neno la Mungu na kwa sababu ya ushahidi waliokuwa wametoa.+ 10 Wakasema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, mtakatifu na wa kweli,+ utajizuia mpaka lini kuhukumu na kulipiza kisasi cha damu yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”+

  • Ufunuo 16:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nikamsikia malaika aliye juu ya maji akisema: “Wewe, Ambaye uko na uliyekuwako,+ Mshikamanifu,+ wewe ni mwadilifu, kwa kuwa umetoa hukumu hizi,+ 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu wanywe;+ wanastahili hivyo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki