Ezekieli 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo nikaingia katikati ya watu waliohamishwa huko Tel-abibu, waliokuwa wakikaa+ kando ya mto Kebari,+ nami nikaanza kukaa mahali walipokuwa wakikaa; nami nikaendelea kukaa hapo kwa siku saba, nikiwa nimepigwa na bumbuazi katikati yao.+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:15 w07 7/1 13 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:15 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2022, uku. 5 Mnara wa Mlinzi,7/1/2007, uku. 139/15/1988, kur. 11-12
15 Kwa hiyo nikaingia katikati ya watu waliohamishwa huko Tel-abibu, waliokuwa wakikaa+ kando ya mto Kebari,+ nami nikaanza kukaa mahali walipokuwa wakikaa; nami nikaendelea kukaa hapo kwa siku saba, nikiwa nimepigwa na bumbuazi katikati yao.+