Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yehova atawapeleka ninyi na mfalme mliyemchagua awe juu yenu, kwenye taifa ambalo ninyi hamlijui wala mababu zenu hawakulijua,+ na huko mtaabudu miungu mingine, miungu ya miti na ya mawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 “Yehova atawatawanya miongoni mwa mataifa yote, kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko mtalazimika kuabudu miungu ya miti na mawe, ambayo wala ninyi wala mababu zenu hamwijui.+

  • 2 Wafalme 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova akasema: “Nitaliondoa Yuda pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoliondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili nililochagua, Yerusalemu, na nyumba ambayo nilisema hivi kuihusu: ‘Jina langu litaendelea kukaa humo.’”+

  • Yeremia 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na nchi hii yote itakuwa magofu na kitu cha kutisha, na mataifa haya yatalazimika kumtumikia mfalme wa Babiloni kwa miaka 70.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki