Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+ Nehemia 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Tafadhali, kumbuka neno ulilomwamuru* Musa mtumishi wako, ukisema: ‘Msipotenda kwa uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa mataifa.+ Luka 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wataangamizwa kwa upanga na watapelekwa utekwani katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa,* mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa* zitimie.+
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
8 “Tafadhali, kumbuka neno ulilomwamuru* Musa mtumishi wako, ukisema: ‘Msipotenda kwa uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa mataifa.+
24 Nao wataangamizwa kwa upanga na watapelekwa utekwani katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa,* mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa* zitimie.+