Yeremia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao na baba zao hawajayajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza kabisa.’+ Ezekieli 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wote wanaomzunguka, wasaidizi wake na wanajeshi wake, nitawatawanya pande zote;+ nami nitauchomoa upanga ili kuwakimbiza.+
16 Nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao na baba zao hawajayajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza kabisa.’+
14 Na wote wanaomzunguka, wasaidizi wake na wanajeshi wake, nitawatawanya pande zote;+ nami nitauchomoa upanga ili kuwakimbiza.+