17 ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazameni, ninatuma dhidi yao upanga, njaa kali, na ugonjwa hatari,+ nami nitawafanya kuwa kama tini zilizooza* ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa.”’+
2 Utaiteketeza theluthi moja ya nywele hizo katika moto ndani ya jiji siku za kuzingira zitakapokamilika.+ Kisha utachukua theluthi nyingine nawe utaipiga kwa upanga kulizunguka jiji pande zote,+ na theluthi ya mwisho utaitawanya kwenye upepo, nami nitauchomoa upanga ili kuwakimbiza.+