-
Yeremia 42:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 basi sikieni neno la Yehova, enyi watu wa Yuda mliobaki. Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ikiwa mmeazimia kabisa kwenda Misri nanyi mwende kukaa huko,* 16 ndipo upanga uleule ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri, na njaa ileile ambayo mnaogopa itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko.+
-