5 Badala yake, mtafuteni Yehova Mungu wenu mahali popote atakapochagua kuweka jina lake na mahali atakapokaa miongoni mwa makabila yote, mwende mahali hapo.+
29 Macho yako na yatazame nyumba hii usiku na mchana, yatazame mahali ambapo ulisema hivi kupahusu: ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninasali kuelekea mahali hapa.+
3 Yehova akamwambia: “Nimesikia sala yako na ombi lako la kutaka kibali ulilotoa mbele zangu. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umejenga kwa kuliweka jina langu humu milele,+ na macho yangu na moyo wangu utakuwa humu sikuzote.+