Hesabu 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+ Hesabu 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka Mlima Hori mtaweka alama mpaka Lebo-hamathi,*+ nao utaishia Sedadi.+ 1 Wafalme 8:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Wakati huo Sulemani alifanya sherehe hiyo+ pamoja na Waisraeli wote, kutaniko kubwa kuanzia Lebo-hamathi* na kushuka mpaka kwenye Korongo* la Misri,+ mbele za Yehova Mungu wetu kwa siku 7 na kisha siku nyingine 7, jumla ya siku 14.
2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+
65 Wakati huo Sulemani alifanya sherehe hiyo+ pamoja na Waisraeli wote, kutaniko kubwa kuanzia Lebo-hamathi* na kushuka mpaka kwenye Korongo* la Misri,+ mbele za Yehova Mungu wetu kwa siku 7 na kisha siku nyingine 7, jumla ya siku 14.