Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakaenda na kuipeleleza nchi kuanzia nyika ya Zini+ hadi Rehobu+ mpaka Lebo-hamathi.*+ 2 Wafalme 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Alirudisha mpaka wa Israeli kuanzia Lebo-hamathi*+ hadi kwenye Bahari ya Araba,*+ kulingana na neno ambalo Yehova Mungu wa Israeli alisema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii kutoka Gath-heferi.+
25 Alirudisha mpaka wa Israeli kuanzia Lebo-hamathi*+ hadi kwenye Bahari ya Araba,*+ kulingana na neno ambalo Yehova Mungu wa Israeli alisema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii kutoka Gath-heferi.+