Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakaenda na kuipeleleza nchi kuanzia nyika ya Zini+ hadi Rehobu+ mpaka Lebo-hamathi.*+ Hesabu 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+ Hesabu 34:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Huu ndio utakaokuwa mpaka wenu wa kaskazini: Mtaweka alama kuanzia Bahari Kuu mpaka Mlima Hori.+ 8 Kutoka Mlima Hori mtaweka alama mpaka Lebo-hamathi,*+ nao utaishia Sedadi.+
2 “Wape Waisraeli maagizo haya: ‘Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani,+ nchi mtakayoirithi, hii ndiyo itakayokuwa mipaka ya nchi hiyo ya Kanaani.+
7 “‘Huu ndio utakaokuwa mpaka wenu wa kaskazini: Mtaweka alama kuanzia Bahari Kuu mpaka Mlima Hori.+ 8 Kutoka Mlima Hori mtaweka alama mpaka Lebo-hamathi,*+ nao utaishia Sedadi.+