Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Hesabu 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mpaka huo utapinda huko Asimoni na kuelekea kwenye Bonde la Misri na kuishia kwenye Bahari ya Mediterania.+ Hesabu 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka Mlima Hori mtaweka alama mpaka Lebo-hamathi,*+ nao utaishia Sedadi.+
18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+
5 Mpaka huo utapinda huko Asimoni na kuelekea kwenye Bonde la Misri na kuishia kwenye Bahari ya Mediterania.+