6 Yehova Mungu wenu ataisafisha* mioyo yenu na mioyo ya wazao wenu,+ ili mumpende Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote na ili muweze kuishi.+
51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+