Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova Mungu wenu ataisafisha* mioyo yenu na mioyo ya wazao wenu,+ ili mumpende Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote na ili muweze kuishi.+

  • Yeremia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Jitahirini kwa ajili ya Yehova,

      Na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+

      Ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu,

      Ili ghadhabu yangu isiwake kama moto

      Na iteketeze bila yeyote wa kuizima,

      Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki