Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:15-17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa Yehova akamwita Abrahamu mara ya pili kutoka mbinguni, 16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa kuwa umetenda jambo hili nawe hujaninyima mwana wako, mwana wako wa pekee,+ 17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+

  • Mwanzo 35:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaitwa tena Yakobo, jina lako litakuwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+ 11 Mungu akaendelea kumwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa uwe na watoto wengi. Mataifa na kusanyiko la mataifa litatoka kwako,+ na wafalme watatoka kwako.*+

  • Waebrania 6:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Mungu alipotoa ahadi yake kwa Abrahamu, kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa kwa jina lake mwenyewe,+ 14 akisema: “Hakika nitakubariki nami hakika nitaufanya uzao wako uwe mwingi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki