26 Kisha ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa umeshika kisigino cha Esau,+ kwa hiyo akampa jina Yakobo.*+ Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 Rebeka alipowazaa.
36 Esau akamwambia: “Je, hiyo ndiyo sababu anaitwa Yakobo,* ili achukue nafasi yangu mara mbili?+ Tayari amechukua haki yangu ya mzaliwa wa kwanza,+ na sasa amechukua baraka yangu!”+ Kisha akauliza: “Hukuniachia baraka yoyote?”