Mwanzo 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa umeshika kisigino cha Esau,+ kwa hiyo akampa jina Yakobo.*+ Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 Rebeka alipowazaa. Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akamwambia: “Jina lako halitakuwa tena Yakobo bali Israeli,*+ kwa maana umepambana na Mungu+ na wanadamu na hatimaye umeshinda.” Hosea 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakiwa tumboni, Yakobo alimshika kisigino ndugu yake,+Na kwa nguvu zake alishindana na Mungu.+
26 Kisha ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa umeshika kisigino cha Esau,+ kwa hiyo akampa jina Yakobo.*+ Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 Rebeka alipowazaa.
28 Kisha akamwambia: “Jina lako halitakuwa tena Yakobo bali Israeli,*+ kwa maana umepambana na Mungu+ na wanadamu na hatimaye umeshinda.”