11 Lakini Yehova akawaambia Waisraeli, “Je, sikuwaokoa kutoka Misri+ na kutoka mikononi mwa Waamori,+ Waamoni, Wafilisti,+12 Wasidoni, Waamaleki, na Wamidiani walipokuwa wakiwakandamiza? Mliponililia, niliwaokoa kutoka mikononi mwao.
11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ naye akawaokoa ninyi kutoka mikononi mwa maadui waliowazunguka, ili mwishi kwa usalama.+