Mwanzo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako*+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea. Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+ Zaburi 106:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+
7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako*+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea.
31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+
45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+