1 Wafalme 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli,+ nami sitawaacha watu wangu Waisraeli.”+ Zaburi 94:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+Wala hatautupa urithi wake.+ Waroma 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi ninauliza, je, Mungu aliwakataa watu wake?+ La hasha! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli, wa uzao wa* Abrahamu, kutoka kabila la Benjamini.
11 Basi ninauliza, je, Mungu aliwakataa watu wake?+ La hasha! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli, wa uzao wa* Abrahamu, kutoka kabila la Benjamini.