1 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+ Waebrania 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+
22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+
5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+