Zaburi 69:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wala usimfiche mtumishi wako uso wako.+ Nijibu haraka, kwa maana ninataabika.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+