Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki. Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+ Zaburi 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tafadhali, Ee Yehova, uwe tayari kuniokoa.+ Ee Yehova, njoo haraka unisaidie.+
9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki. Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+