Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+ Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+ Yona 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilizama sehemu za chini za milima. Milango ya dunia ilikuwa ikija kunifungia milele. Lakini uliutoa uhai wangu shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+
3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+
13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+
6 Nilizama sehemu za chini za milima. Milango ya dunia ilikuwa ikija kunifungia milele. Lakini uliutoa uhai wangu shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+