Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+

      Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+

  • Zaburi 86:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,

      Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+

  • Yona 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nilizama sehemu za chini za milima.

      Milango ya dunia ilikuwa ikija kunifungia milele.

      Lakini uliutoa uhai wangu shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki