Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+

  • Zaburi 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ninaendelea kukulilia wewe, Ee Yehova Mwamba wangu;+

      Usiwe kama kiziwi kwangu.

      Ukininyamazia,

      Nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+

  • Isaya 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;

      Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*

      Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+

      Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+

  • Yona 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nilizama sehemu za chini za milima.

      Milango ya dunia ilikuwa ikija kunifungia milele.

      Lakini uliutoa uhai wangu shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki