Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+ Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+ Zaburi 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ninaendelea kukulilia wewe, Ee Yehova Mwamba wangu;+Usiwe kama kiziwi kwangu. Ukininyamazia,Nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+ Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+ Yona 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilizama sehemu za chini za milima. Milango ya dunia ilikuwa ikija kunifungia milele. Lakini uliutoa uhai wangu shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+
28 Ninaendelea kukulilia wewe, Ee Yehova Mwamba wangu;+Usiwe kama kiziwi kwangu. Ukininyamazia,Nitakuwa kama wale wanaoshuka shimoni.*+
17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+ Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+
6 Nilizama sehemu za chini za milima. Milango ya dunia ilikuwa ikija kunifungia milele. Lakini uliutoa uhai wangu shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+