Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ Zaburi 56:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana umeniokoa kutoka katika kifo+Na kuizuia miguu yangu isijikwae,+Ili nitembee mbele za Mungu katika nuru ya walio hai.+ Zaburi 116:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umeniokoa* kutoka katika kifo,Jicho langu kutokana na machozi, mguu wangu usijikwae.+
13 Kwa maana umeniokoa kutoka katika kifo+Na kuizuia miguu yangu isijikwae,+Ili nitembee mbele za Mungu katika nuru ya walio hai.+