Zaburi 56:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana umeniokoa kutoka katika kifo+Na kuizuia miguu yangu isijikwae,+Ili nitembee mbele za Mungu katika nuru ya walio hai.+ Zaburi 94:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliposema: “Mguu wangu unateleza,” Upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova, uliendelea kunitegemeza.+
13 Kwa maana umeniokoa kutoka katika kifo+Na kuizuia miguu yangu isijikwae,+Ili nitembee mbele za Mungu katika nuru ya walio hai.+
18 Niliposema: “Mguu wangu unateleza,” Upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova, uliendelea kunitegemeza.+