Mathayo 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, ninakuambia: Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba+ huu nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi* hayatalishinda. Yohana 6:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Yeyote akila mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ siku ya mwisho; Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, ataishi tena;
18 Pia, ninakuambia: Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba+ huu nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi* hayatalishinda.
54 Yeyote akila mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ siku ya mwisho;