Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha, lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+

  • 1 Wakorintho 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hakuna mtu yeyote anayeweza kuweka msingi mwingine wowote zaidi ya ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+

  • 1 Wakorintho 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na wote walikunywa maji yaleyale ya kiroho.+ Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba wa kiroho uliowafuata, na mwamba huo ulimaanisha* Kristo.+

  • Waefeso 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la msingi la pembeni.+

  • 1 Petro 2:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Andiko linasema: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi lenye thamani, na yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa kamwe.”*+

      7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni”*+ 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Wanajikwaa kwa sababu hawatii lile neno. Waliwekwa rasmi pia kwa kusudi hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki