Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Musa akainua mkono wake na kuupiga mwamba huo mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakaanza kububujika, watu wakaanza kunywa pamoja na mifugo yao.+

  • Yohana 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yesu akamjibu: “Kama ungejua zawadi ya bure inayotoka kwa Mungu+ na ni nani ambaye anakuambia, ‘Naomba maji ninywe,’ ungemwomba, naye angekupa maji yaliyo hai.”+

  • Yohana 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Huyo mwanamke akamwambia: “Ninajua kwamba Masihi anakuja, anayeitwa Kristo. Atakapokuja, atatutangazia mambo yote waziwazi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki