Isaya 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+ Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+ Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kuwa andiko linasema: “Yeyote anayemwamini hatakata tamaa.”+ 1 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Andiko linasema: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi lenye thamani, na yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa kamwe.”*+
16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+ Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+
6 Kwa maana Andiko linasema: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi lenye thamani, na yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa kamwe.”*+