19 Basi ninyi si wageni tena na watu wa mataifa ya kigeni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu na ni washiriki wa nyumba ya Mungu,+ 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la msingi la pembeni.+